Nauza stapler

Mwamsiku

Member
Joined
Feb 9, 2017
Posts
66
Reaction score
14
Habarini wana JF niende moja kwa moja tu,

Jamani nauza heavy duty stapler mpya kabisa nilinunua kwajili ya kufungua office yangu sasa naona mambo yamenikalia ndivyo sivyo nazani mnaelewa.

Nimeamua kula hasara, dukani inauzwa laki na sitini.

Binafsi nataka laki tu! Napatika Zakhem.

Kwa mawasiliano piga 0712762050




 
Kama ulinunua laki na sitini basi ulipipigwa, kila la kheri kwenye kuuza
 
Nenda chato kawakamate wasukuma washamba ndo uwauzie hiyo bei
 
Kuna kitu kimoja wabongo wako Na shida kitu ukitangaza kuuza wao ni kucrash tyyu ...kama ww ulinunua 30 ,20ngap n ww na mahari ulipo nunulia na ubora wa bidhaa ulio nunua sio unazungumza tyuu usicho kijua ...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…