Nauza sofa na fridge

]Hapa nataka hela kwa hio nimeamua kuuza sofa langu na fridge bei sofa ni 160000 na fridge ni 150000.contact 0652002828.napatikana buza kanisani/dar es salaam
 
Hilo friji lina kutu kwa chini aisee...
Hapo cha kununua ni sofa tu.
Friji ina kutu ukicheki kwa ndani.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…