kitumbotala
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 516
- 625
Hahahah mkuu umenifurahisha sanawanawake wana roho mbaya yan umempelekea zawadi na amekataa! ungemwambia ATAPATA TABU SANA
Nasema awamu hii watapata tabu sanawanawake wana roho mbaya yan umempelekea zawadi na amekataa! ungemwambia ATAPATA TABU SANA
Ha ha ha yaweza kuwa kinyume mtoto wa watu kasema kaniletee simu sio itel hela hii hapa .Ujanja wa mjini mtu kamletea itel akisema hii sawa tu Na techno, Samsung nk mwenyewe labda kadinda sitaki simu Wala nini nipe pesa yangu vinginevyo nakupeleka polisi so anahaha kuuzawanawake wana roho mbaya yan umempelekea zawadi na amekataa! ungemwambia ATAPATA T ABU SANA
Wewe utakuwa unanunua fekiDaah, hivi unaendaje dukani na kununua itel, yaani unaanzaje yaani!
ongeza mkuu nikupe simu hii haina tatizoNipe nikupe 50k
ndioItel
Tecno na Itel ni kampuni moja.Itel sio sim hata waje vpi yaani wenyewe wametolea kopy kwenye tecno na tecno kama unavyo wajua sasa itel"