Habari zenu? Nauza simu touch screen model:it1408. haijachoka wala haina mkwaruzo wowote;
.Ina screeun protector
.ina cover yake
.ina charge yake
.ina ear phone yake
NB:Ina play store,WhatsApp,opera mini nk.una rusiwa kuikagua tukionana na ukiwa tayari kununua.BEI ni tsh 150,000 UKIWA SERIOUS ni PM