Nauza simu: Sony Experia F3111

biasharaTz

Senior Member
Joined
Apr 14, 2016
Posts
163
Reaction score
79
Habari wanajukwaa!
Nauza simu yenye maelezo yafuatayo:
1. Aina: Sony Experia
2. Model: F3111
3. Rangi: Nyeupe
4. RAM: 2GB
5. Internal storage: 32GB
6. Network: 2G|3G|4G/LTE
7. OS: Android 7
8. Battery: 2600Amh (inakaa na chaji vema sana)
9. Line: line moja
10. Hali yake: Ina hali nzuri sana 'kama mpya'! Imetumika miezi miwili hapa Tanzania
11. Bei: 240,000TZS
12. Inapatikana: Kigamboni, Dar es Salaam lkn popote waweza kutumiwa
13. Mawasiliano: 0755411455 (Call|sms|whatsapp)

Angalizo: Kuna picha pana kama mstari hivi kwenye kioo, sio mstari bali kivuli cha simu ilitumika kupiga picha

Karibuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…