DaahIringa
Isije kuwa ya wizi halafu nikaaibikaWe afisa TRA au
Kipi kinaanza nitume hela kwanza au utume mzigo kwanza maana sikujuiKama pesa ipo nakutumia 2
Chief nakuaminije? Yaan nitume hela tu we mnyalu vp?Tuma pesa kwanza!! Nakutumia mzgo au
Upo wap kwanza
Mambo n moto mambo ni fireChief nakuaminije? Yaan nitume hela tu we mnyalu vp?



Biashara ya kuuzia simu ya mchina kwa 170k nijumuishe na ndugu zangu waliopo iringa? Imekuwa Posa?Acha uoga wewe!mi mfanyabiashara niamin2,huna ndugu huku
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahahaBiashara ya kuuzia simu ya mchina kwa 170k nijumuishe na ndugu zangu waliopo iringa? Imekuwa Posa?
Asante Bro. Ila humuibii mtu humu hasa zama hizi za jiwe. Eti tuma tu helaHahaaaa!!eti yakichina huna pesa wewe kafie mbele
So ulitaka utupige wengi-wengi humu kiboya hivi? Biashara za mtandaoni ni nipe-nikupeKwahyo ulitaka nkutumie simu kwanza ndo unimange vizur hahahahahaaaa!!economyclass ndo matatzo yenu hayo
Chief nakuaminije? Yaan nitume hela tu we mnyalu vp?
Hahaha, jf haijawahi kuboaBiashara ya kuuzia simu ya mchina kwa 170k nijumuishe na ndugu zangu waliopo iringa? Imekuwa Posa?