Nauza shamba lenye kila kitu Kigamboni

Nauza shamba lenye kila kitu Kigamboni

Anwar2012

Member
Joined
Nov 25, 2012
Posts
18
Reaction score
4
Nauza Shamba 7 acres, ina nyumba ya vyumba vivili 2. Vyoo 2, bafu 2. Kisima Kirefu cha mita 50. Sim tank 2 za lita 10,000. Drip irrigation za ekari 10 + Mabanda ya kuku 1,000+. Vifaa vya kulishia kuku 1000+. Nyumba ya Mbwa Kubwa 2. Bei nataka 170,000,000. Simu 0768939433 or watsapp same #
 

Attachments

  • 1436489575612.jpg
    1436489575612.jpg
    80.1 KB · Views: 410
  • 1436489640150.jpg
    1436489640150.jpg
    102.7 KB · Views: 391
Bei nzuri sana, sema huu uchaguzi utaathiri mauzo yako.

Tunazibana tuzitumie kwenye kampeni, wakati huo huo tumaweza kukupa hiyo pesw ukaja kushindana na sisi majimboni. Subiri uchaguzi uishe au kamuuzie mhindi.
 
nop kiongozi hayo maeneo ya kigamboni unaweza nunua kumbe uko ndani ya himaya ya watu. ntaklutafuta tuongee zaidi
 
Shamba lenye kila kitu? Itabidi liingie kwenye Orodha ya vivutio vya Utalii!
 
Concrete 15, shamba halimo kwenye himaya ya mtu Naliuza. Kwa sababu ninakubwa zaidi ya hilo mara 10. Hivyo management imekuwa shida kwa zote. Nalimiliki since 2004.
 
King Kong na raimondi. Kuweni wastaarabu, Siasa sio kila kitu
 
Nauza Shamba 7 acres, ina nyumba ya vyumba vivili 2. Vyoo 2, bafu 2. Kisima Kirefu cha mita 50. Sim tank 2 za lita 10,000. Drip irrigation za ekari 10 + Mabanda ya kuku 1,000+. Vifaa vya kulishia kuku 1000+. Nyumba ya Mbwa Kubwa 2. Bei nataka 170,000,000. Simu 0768939433 or watsapp same #
L
Kigamboni IPI?
Limepimwa?
Umeme?
Aina ya Udongo?
Linafaa kwa Kilimo gani?
 
King Kong na raimondi. Kuweni wastaarabu, Siasa sio kila kitu

Hilo kweli mkuu - sababu humu JF lazima kila kitu iingie siasa au dini - haya ndio yanafuruga michago na mafanikio humu. wengi mabingwa wa siasa
 
Back
Top Bottom