Nauza shamba la migomba

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,650
Reaction score
20,997
Wakuu, lile shamba nilisema nauza 10m nimepunguza bei sasa ni 7.3m. Nimeanza na Kujenga kibanda cha mfanyakazi badi kuezeka. Lipo Mbeya.Mbarali. Ni hekari 2.75.

 

Attachments

  • 20181206_091403.jpg
    287.8 KB · Views: 64


Hiki kibanda bado kuezeka. mkuu Malila hauna connection nipate mteja?
 
Vipi mkuu? karibu tupige business. Hili eneo hata maparachichi yanastawi. Unaweza ukapiga na maparachichi humo ndani. Yanaweza kaa kama 300 hivi. Mi linanisumbua kusimamia nataka nikafungue business nyingine.
 
za siku mkuu,
Liko Mbalari kijiji gani mkuu?
Nzuri, bado tunapambana, Igurusi. 2.5km kutoka lami. Upande wa kushoto kama unaenda Mbeya. Gari inafika hadi shambani.
 
January hii napandisha huko. Je naweza kuliona shamba mkuu?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…