Hiyo bei mbona ni nzuri sana kila hekeri ni 60,000 Maisha ni mepesi sana ebu nijipange nije kama shamba halina mgogoro na wana kijiji au sio la urithiNauza Shamba hekari mia moja(100) lipo Mkoa wa Singida Wilaya ya MANYONI. Shamba lipo Kilometa Saba(7) kutoka Manyoni Mjini ni mwendo wa barabara ya lami na pia Shamba kutoka lami kuingia shamba ni meter mia tano(500) linapakana na Reli Ya Kati na Reli ya mwendo kasi(SGR) na pia linapakna na barabara ya kiwango cha changarawe chini ya TARURA unatoka lami shamba linapakana barabara. Shamba ni jipya halikuwahi kulimwa toka ulimwengu uumbwe ni wewe kulisafisha. Linafaa kwa kilimo cha KOROSHO, ULEZI, UWELE, MIHOGO, UFUTA, MTAMA, KARANGA, NJUGU MAWE, ALIZETI. Huduma za kijamii zinapatikana Maji, Shule, zahanati n kilometa1 kufikia huduma hizo. Kwa heka zote mia moja(100) nauza SHILINGI MILIONI SITA(6,000,000/=).
Shamba nilinunua kutoka kwa wenyeji nimeamua kuuza nibakiwe na shamba nililoendeleza kwa kilimo cha Korosho, kwa hiyo halina mgogoro na mm ni mkazi wa Arusha nilienda nununua huko.Hiyo bei mbona ni nzuri sana kila hekeri ni 60,000 Maisha ni mepesi sana ebu nijipange nije kama shamba halina mgogoro na wana kijiji au sio la uridhi
Una document zipi za umiliki wa hilo shamba tafadhari.Shamba nilinunua kutoka kwa wenyeji nimeamua kuuza nibakiwe na shamba nililoendeleza kwa kilimo cha Korosho, kwa hiyo halina mgogoro na mm ni mkazi wa Arusha nilienda nununua huko.
shamba ni jipya halijawahi kulimwa tangu ulimwengu uumbwe, sasa unalimilikije? isije kuwa unaanza kuchakata pori jipa afu maliasili/watu wa misitu wakakurukia. shamba kama halijawahi kulimwa wewe unalimilikije hadi uuze?utasemaje la kwako.Nauza Shamba hekari mia moja(100) lipo Mkoa wa Singida Wilaya ya MANYONI. Shamba lipo Kilometa Saba(7) kutoka Manyoni Mjini ni mwendo wa barabara ya lami na pia Shamba kutoka lami kuingia shamba ni meter mia tano(500) linapakana na Reli Ya Kati na Reli ya mwendo kasi(SGR) na pia linapakna na barabara ya kiwango cha changarawe chini ya TARURA unatoka lami shamba linapakana barabara.
Shamba ni jipya halikuwahi kulimwa toka ulimwengu uumbwe ni wewe kulisafisha. Linafaa kwa kilimo cha KOROSHO, ULEZI, UWELE, MIHOGO, UFUTA, MTAMA, KARANGA, NJUGU MAWE, ALIZETI. Huduma za kijamii zinapatikana Maji, Shule, zahanati n kilometa1 kufikia huduma hizo. Kwa heka zote mia moja(100) nauza SHILINGI MILIONI SITA(6,000,000/=).
Akijibu nitag mkuu mimi nipo hapa Itigi mizani nakunywa uji wa mtamashamba ni jipya halijawahi kulimwa tangu ulimwengu uumbwe, sasa unalimilikije? isije kuwa unaanza kuchakata pori jipa afu maliasili/watu wa misitu wakakurukia. shamba kama halijawahi kulimwa wewe unalimilikije hadi uuze?utasemaje la kwako.
Subiria kwanza ajibu documents alizo nazo ndo uje na hayo..... nadhani pia kabla ya kununua kuna hatua mtu atapaswa kupitia kabla ya muafaka wa malipo.... Hakuna mtu atatoa hela kizembe.anataka kujifanya kama sisi wote tumezaliwa mjini. sisi wengine tumezaliwa vijijini na izo mbambo tunazijua sana. hata yeye mwenyewe hapo akianza tu kufyeka si ukute wahifadhi mapori wakamkamata chap. namshauri aanze yeye kulilima, alikatia hati miliki ya kimila, afu ndio aanze kuliuza. kumwambia mtu akapandue shamba kwa mara ya kwanza hapo hatakiwi kuuza, halina mtu hilo huyo anayeenda kulilima ndio atakuwa mmiliki aliyejiokotea shamba.