Kichwa cha tangazo hapo juu kinahusika
Sifa ya simu
-Ni original
-Inatumia Laini moja
-16GB
-Ina rangi nyeusi
-Imetumika kwa miezi 6 tu tokea itoke dukani
Bei
-Bei ni Tsh 300,000/=
Sehemu nilipo
-Nipo Arusha Sakina
Usalama
-Kuhusu usalama Usijali tunaweza kwenda kuandikishana kwa balozi au mjumbe
Kwa anayeitaka aje pm