A akazuba JF-Expert Member Joined May 16, 2014 Posts 533 Reaction score 485 Nov 23, 2016 #1 Salaam Nauza rolling gates za ukubwa wa futi 9x9 yapo nane(8) na 9x7 yapo manne(2) bei nzuri sana. Yapo Tegeta Dar. Bei ni tsh 550,000@ Pia viwanja viwili Cha kwanza ni 35/40 Kina msingi wa Fensi Kina maji ya bomba Bei 15m Cha pili ni 40/60 Kina bomba la maji Bei 15m Viwanja vyote vipo Visiga, Madafu Kibaha Pwani. Maelewano yapo. Nifuate inBox.
Salaam Nauza rolling gates za ukubwa wa futi 9x9 yapo nane(8) na 9x7 yapo manne(2) bei nzuri sana. Yapo Tegeta Dar. Bei ni tsh 550,000@ Pia viwanja viwili Cha kwanza ni 35/40 Kina msingi wa Fensi Kina maji ya bomba Bei 15m Cha pili ni 40/60 Kina bomba la maji Bei 15m Viwanja vyote vipo Visiga, Madafu Kibaha Pwani. Maelewano yapo. Nifuate inBox.
FaizaFoxy Platinum Member Joined Apr 13, 2011 Posts 100,506 Reaction score 123,802 Nov 23, 2016 #2 Weka picha na bei ya mageti.
Amalinze JF-Expert Member Joined May 6, 2012 Posts 6,780 Reaction score 5,322 Nov 23, 2016 #3 Weka Picha ndugu [HASHTAG]#Kunywamajimwanangu[/HASHTAG].
A akazuba JF-Expert Member Joined May 16, 2014 Posts 533 Reaction score 485 Nov 23, 2016 Thread starter #4 FaizaFoxy said: Weka picha na bei ya mageti. Click to expand... Picha nitaweka soon nipo mbali nayo kwa sasa
FaizaFoxy said: Weka picha na bei ya mageti. Click to expand... Picha nitaweka soon nipo mbali nayo kwa sasa
FaizaFoxy Platinum Member Joined Apr 13, 2011 Posts 100,506 Reaction score 123,802 Nov 23, 2016 #5 akazuba said: Picha nitaweka soon nipo mbali nayo kwa sasa Click to expand... OK
A akazuba JF-Expert Member Joined May 16, 2014 Posts 533 Reaction score 485 Nov 24, 2016 Thread starter #6 FaizaFoxy said: Weka picha na bei ya mageti. Click to expand... mfano wa mageti niliyonayo kama unavyowez kuona kwenye picha.
FaizaFoxy said: Weka picha na bei ya mageti. Click to expand... mfano wa mageti niliyonayo kama unavyowez kuona kwenye picha.
Dan Zwangendaba JF-Expert Member Joined Apr 25, 2014 Posts 6,552 Reaction score 9,057 Nov 24, 2016 #7 Nimekuja mbio bila breki nikidhani viwanja viko dar, kumbe viko mkoa jirani dah!