Nauza "Rolling Gates na Viwanja viwili"

akazuba

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2014
Posts
533
Reaction score
485
Salaam

Nauza rolling gates za ukubwa wa futi 9x9 yapo nane(8) na 9x7 yapo manne(2) bei nzuri sana. Yapo Tegeta Dar.

Bei ni tsh 550,000@

Pia viwanja viwili
Cha kwanza ni 35/40
Kina msingi wa Fensi
Kina maji ya bomba
Bei 15m

Cha pili ni 40/60
Kina bomba la maji
Bei 15m

Viwanja vyote vipo Visiga, Madafu Kibaha Pwani.

Maelewano yapo.

Nifuate inBox.
 
Weka Picha ndugu [HASHTAG]#Kunywamajimwanangu[/HASHTAG].
 
Nimekuja mbio bila breki nikidhani viwanja viko dar, kumbe viko mkoa jirani dah!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…