Nauza rice cooker

Nauza rice cooker

Ben Zen Tarot

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2014
Posts
4,392
Reaction score
7,863
Nauza NIKAI rice cooker
bei 50,000 tu
bei haipungui
imetumika kidogo
ipo katika hali nzuri
serious buyer only

0762 854 563
 

Attachments

  • rice cooker.jpg
    rice cooker.jpg
    65.3 KB · Views: 346
kinaingia kilo ngapi? na kipya dukani kinauzwa bei gani?
 
Hongera sana maana ugari wa ndona unakazi yingi sana mwilini kana kulinda mwili mwili unakuwa imara sana nk
 
Tatizo kitu ukishakitoa dukani tuu,then utangaze unauza lazima itakuwa umeona tatizo.,so mtu atanunua at own risk.

Haina tatizo mkuu imetumika kidogo me nakuuzia ukikuta tatizo njoo nitangaze humu siwezi kuhama humu JF
 
Haina tatizo mkuu imetumika kidogo me nakuuzia ukikuta tatizo njoo nitangaze humu siwezi kuhama humu JF

Kama uko tayari kwa hiyo 30 ni pm nije nchukue leo mkuu ila ntakuongeza kama tano hiv ya nauli.
 
Back
Top Bottom