NAUZA PPGI COILS (materials ya kutengeneza mabati) Tani 50

NAUZA PPGI COILS (materials ya kutengeneza mabati) Tani 50

selham

Member
Joined
Jul 17, 2011
Posts
55
Reaction score
45
Ndugu wana JF
Nauza PPGI coils( materials ya kutengeneza mabati) tani 50

SPECIFICATIONS
  • 0.25mm thickness (30gauge)
  • 1000mm width
  • 80g/m[SUP]2 [/SUP]coating
  • aluzinc coils
  • brickred and skyblue Colour Coated Coils
  • The quality is better than ALAF sheets ( Guarantee 20 years without fading)

Coils zote zipo bandarini hazijalipiwa ushuru. Nauza milioni 70 bila ushuru na 120 milioni zikilipiwa ushuru. pia kama utakua interested kununua naweza kutengenezea mabati ya migongo mipana au ya kawaida bure, hizo tani 50 zinatoa mabati 9000 ya meter tatu.
Bei ya bati moja kwa jumla ni sh 21000. wewe unaweza kuuza 18000(6000 kwa meter). ukiuza mabati yote unapata 18000x9000=162,000,000. Faida yako inakua 162,000,000-120,000,000=42,000,000. wateja wapo wengi na mzigo wote unauzika ndani ya mwezi mmoja.
Nauza mzigo sababu nimekosa pesa ya kutoa containers bandarini. Kwa maelezo zaidi nipigie 0685085378. Kiwanda changu kinaitwa Tanzanite Roof industries Ltd kipo mwanza opposite na nyakato police station. Kwa uhakiki zaidi unaweza kufika kiwandani.
Nina documents zote za mzigo ie Bill of lading, Invoice, Packing list etc

NB: -Fanya research ya wateja wa bati wanaonunua kwa jumla ndo tuongee biashara. Wateja mimi nawafahamu
-Unaweza kutoa mzigo bandarini kwa kulipia ushuru (50m tax plus port and agent fee) then mimi ukanilipa baada ya kuuza mabati

COILS NDIO ZIKO HIVI

attachment.php



NAKUTENGENEZEA MABATI KAMA HAYA

attachment.php



 

Attachments

  • Color-Coated-ProfileSheet.jpg
    Color-Coated-ProfileSheet.jpg
    5.4 KB · Views: 396
  • skyblue.jpg
    skyblue.jpg
    18.8 KB · Views: 313
mkuu si umtafute yule jamaa mwenye kiwanda kama chako pale kisesa anaitwa munisi ?
ungekuwa uganda ungetasua maana ura wanakupa mzigo kisha unaleta pesa yao baada ya biashara
 
mkuu si umtafute yule jamaa mwenye kiwanda kama chako pale kisesa anaitwa munisi ?
ungekuwa uganda ungetasua maana ura wanakupa mzigo kisha unaleta pesa yao baada ya biashara

nilimtafuta mkuu kaagiza mzigo mkubwa sana mwezi huu. hana pesa ya kununua mzigo mwingine kwa sasa
 
Mkuu hiyo faida uliyokokotoa hapa mbona haujahusisha kodi?
Au nyie ndo majipu yenyewe anayosema Magufuli?
 
Vipi mkuu, ulinasuka kwenye hili janga?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom