Nauza pikipiki (mpya)

God knows

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2011
Posts
276
Reaction score
173
Habari wadau,

Mwaka naona hauniishii vizuri. Nauza pikipiki yangu SANLG SL125-5,

Brand new (bado ipo kwenye nylon zake), haijawahi kuendeshwa (0km), imelipiwa bima kubwa (comprehensive). Ipo tayari kuingia barabarani au kwa matumizi binafsi.

Bei: TZS 1,800,000.00

Mawasiliano: PM

Picha:

Karibuni.
 
Nitatuma baadae, zipo sehemu ya parking.
 
NApishana na pesa, haki ya nani tena.
 
Aisee asante sana kwa taarifa. Biashara njema ukifanikiwa kuuza katoe sadaka ya kumshukuru Mungu wako. Mimi vyuma bado havina grease kufungua vinahitaji ugali wa kisukuma
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…