noel oga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2015
- 277
- 230
Habari ndugu zangu.Leo nimekuja na nyumba nzuri kwa ajili ya familia.nyumba hii ipo hapa manyoni
Nyumba hii ina vitu vifuatavyo:-
*vyumba vitatu vizuri
*ina sebule nzuri la kutosha
*ina jiko na stoo
*ina public toilets
*ina nafas kubwa kwa nje unayowez kufanya shughuli zako kama ufugaji wa kuku,ngombe na kadhalika ukiachana na parking kama una usafiri wako
*ina fensi ya ukuta na imenakshiwa na urembo pamoja na geti imara kwa ulinzi
*mwisho ina fremu kwa ajili ya biashara
Mapungufu ya nyumba hii:-
*vyumba bado havijawekwa milango
Bei ni maelewano
Tafadhali kwa mawasiliano tuongee kupitia namba
0788-479084 au 0766-205600
Nyumba hii ina vitu vifuatavyo:-
*vyumba vitatu vizuri
*ina sebule nzuri la kutosha
*ina jiko na stoo
*ina public toilets
*ina nafas kubwa kwa nje unayowez kufanya shughuli zako kama ufugaji wa kuku,ngombe na kadhalika ukiachana na parking kama una usafiri wako
*ina fensi ya ukuta na imenakshiwa na urembo pamoja na geti imara kwa ulinzi
*mwisho ina fremu kwa ajili ya biashara
Mapungufu ya nyumba hii:-
*vyumba bado havijawekwa milango
Bei ni maelewano
Tafadhali kwa mawasiliano tuongee kupitia namba
0788-479084 au 0766-205600