Nauza nyumba kwa bei ya kutupa

Nauza nyumba kwa bei ya kutupa

LIGANGALEO

Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
19
Reaction score
1
Wana JF
Nimerudi tena kutangaza kuuza nyumba hii (Unfinished House kwa bei nafuu sana.Nyumba ina hati na ipo Madale. Ramani ya Nyumba ni Ghorofa moja ikiwa na Lounge, Kitchen, Store, Lobby, Pantry na Chumba kimoja chini chenye choo na bafu ndani pamoja na Public Toilet ya kawaida hususani kwa wageni.
Ramani ya juu kuna VIP Lounge,Study Room, Master Bed Room na vyumba vingine viwili vinavyojitegemea kwa choo na bafu. Ukubwa wa eneo ni Square Meter 1203.Bei naanza na Ml.125 tu maongezi yapo.Wanajamvi karibuni kwa maongezi
0786 294545

NB:Nia ya kuuza ni kupata pesa ili niingize kwenye Kilimo ikiwa ni pamoja na maandalizi ya kumng'oa Mbunge mmoja MZIGO huko kwetu Songea mwaka 2015.
 

Attachments

  • DSC01205.JPG
    DSC01205.JPG
    46.6 KB · Views: 520
  • DSC01207.JPG
    DSC01207.JPG
    30.6 KB · Views: 1,020
  • DSC01208.JPG
    DSC01208.JPG
    49.7 KB · Views: 473
Ubunge wa siku hz ukiwa na sio chini ya 250m tsh huupati,angalia usipate pressure kuna watu walikimbizwa hospital uchaguzi uliopita
 
Unamaanisha kumungo'a mzee wa Kwaya?
 
Hela zote hizo waziandaa kwa ajili ya kugombea ubunge na ukiukosa si utapata ugonjwa wa moyo? Ndio maana wakishafika bungeni ni kudai posho zaidi ili kufidia gharama walizotumia kuingia mjengoni
 
M ntaandaa ambulance

Maana diwan wetu hapa alizimia cku ya matokeo

Acha ujinga wa kuuza hyo asset
 
Yule mbunge amefilisika mpaka shule zake zimetaifishwa, Kalulu nako kamempiga chini
 
Mkuu,
Bei yako iko juu SANA!!
Kama mtu Akiwa Makini basi Tshs 125Mil anajenga Nyumba kwa Ramani ulioitaja mpaka Nyumba inaisha,
Badala ya kuuza na kutaka faida kubwa, ungepiga gharama zako tu ukaongeza labda na cost za muda uliotumia, hapo ilipo naweza kuikisia imekula labda 40mil maximum!!
 
Andaa na amblance kabisa ili.ukishindwa ubunge wakuwahishe motuary. Siasa ni presha kama huna.hela ya kifisadi. Usithubutu kuuza asset eti kuingia siasa au kilimo. Kilimo gani Tanzania? Kwa soko lipi? Unategemea msimu au irrigation??
 
Hiyo hela kubwa sana na sehemu yenyewe madale
 
Jamani nauza/napangisha Nyumba Songea ipo Mkuzo karibu na msamala bei ni maelewano.
Nipigie 0756 303344
Karibu tufanye biashara.
 
Jamani nauza/napangisha Nyumba Songea ipo Mkuzo karibu na msamala bei ni maelewano.
Nipigie 0756 303344
Karibu tufanye biashara.
Iko Mkuzo sehemu gani mkuu?
Ungeanzisha uzi wako, ni bure mkuu,
Pia weka na Picha
 
Duh imebidi tu nicheke! kikubwa hapo atafaidi kiwanja ila si hilo boma ambalo hata Mil40 haifiki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom