Dalali wa Mjini JF-Expert Member Joined Oct 5, 2024 Posts 1,079 Reaction score 1,567 Mar 7, 2025 #1 Habari wakuu. Nyumba zipo nne ndani ya kiwanja kimoja Mtaa wa Undogi Tank la maji. Nyumba mbili zimepauliwa Nyumba mbili hazijapauliwa. Sqm 870 Hati ya wizarani. Location Kibamba njia panda ya shule Mtaa wa Undogi Tanki la maji. Km 3 kutoka Morogoro Road hadi kwenye nyumba. 📞Call/WhatsApp 0754693556 Gari ya Aina yoyote inafika saiti. Bei milion 130 mazungumzo yapo. Attachments video_20250307_085422.mp4 28.1 MB IMG_20250307_085208.jpg 1.1 MB · Views: 36 IMG_20250307_085154.jpg 804.3 KB · Views: 26 IMG_20250307_085140.jpg 747.1 KB · Views: 30 IMG_20250307_085028.jpg 740.9 KB · Views: 32 IMG_20250307_084934.jpg 827.6 KB · Views: 31 video_20250307_084805.mp4 41.3 MB
Habari wakuu. Nyumba zipo nne ndani ya kiwanja kimoja Mtaa wa Undogi Tank la maji. Nyumba mbili zimepauliwa Nyumba mbili hazijapauliwa. Sqm 870 Hati ya wizarani. Location Kibamba njia panda ya shule Mtaa wa Undogi Tanki la maji. Km 3 kutoka Morogoro Road hadi kwenye nyumba. 📞Call/WhatsApp 0754693556 Gari ya Aina yoyote inafika saiti. Bei milion 130 mazungumzo yapo.
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 57,835 Reaction score 165,689 Mar 7, 2025 #2 Kwa nyie madalali mlivyo ukute bei ya kiwanja na hizo nyumba ni ukitoa hiyo moja hapo 🤔
Dalali wa Mjini JF-Expert Member Joined Oct 5, 2024 Posts 1,079 Reaction score 1,567 Mar 7, 2025 Thread starter #3 Mkuu sjaelewa ulichoandika nieleweshe Mzee wa asili min -me said: Kwa nyie madalali mlivyo ukute bei ya kiwanja na hizo nyumba ni ukitoa hiyo moja hapo 🤔 Click to expand...
Mkuu sjaelewa ulichoandika nieleweshe Mzee wa asili min -me said: Kwa nyie madalali mlivyo ukute bei ya kiwanja na hizo nyumba ni ukitoa hiyo moja hapo 🤔 Click to expand...
Red black JF-Expert Member Joined Nov 29, 2019 Posts 16,217 Reaction score 51,590 Mar 7, 2025 #4 min -me said: Kwa nyie madalali mlivyo ukute bei ya kiwanja na hizo nyumba ni ukitoa hiyo moja hapo 🤔 Click to expand... 1_30M
min -me said: Kwa nyie madalali mlivyo ukute bei ya kiwanja na hizo nyumba ni ukitoa hiyo moja hapo 🤔 Click to expand... 1_30M
Eli Cohen JF-Expert Member Joined Jun 19, 2023 Posts 10,683 Reaction score 33,852 Mar 7, 2025 #5 Kula 50m acha kelele
Red black JF-Expert Member Joined Nov 29, 2019 Posts 16,217 Reaction score 51,590 Mar 7, 2025 #6 Dalali wa mjini said: Mkuu sjaelewa ulichoandika nieleweshe Mzee wa asili Click to expand... Mnapiga sana mzee anamaanisha hapo umeeka 100M yako hio 30 ndio ya tajiri
Dalali wa mjini said: Mkuu sjaelewa ulichoandika nieleweshe Mzee wa asili Click to expand... Mnapiga sana mzee anamaanisha hapo umeeka 100M yako hio 30 ndio ya tajiri
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 57,835 Reaction score 165,689 Mar 7, 2025 #7 Dalali wa mjini said: Mkuu sjaelewa ulichoandika nieleweshe Mzee wa asili Click to expand... Vunga bro
Dalali wa mjini said: Mkuu sjaelewa ulichoandika nieleweshe Mzee wa asili Click to expand... Vunga bro
Dalali wa Mjini JF-Expert Member Joined Oct 5, 2024 Posts 1,079 Reaction score 1,567 Mar 7, 2025 Thread starter #8 Red black said: Mnapiga sana mzee anamaanisha hapo umeeka 100M yako hio 30 ndio ya tajiri Click to expand... Daah mkuu 30 ya Tajiri Kweli. Hii ni maajabu 😂
Red black said: Mnapiga sana mzee anamaanisha hapo umeeka 100M yako hio 30 ndio ya tajiri Click to expand... Daah mkuu 30 ya Tajiri Kweli. Hii ni maajabu 😂
Dalali wa Mjini JF-Expert Member Joined Oct 5, 2024 Posts 1,079 Reaction score 1,567 Mar 7, 2025 Thread starter #9 min -me said: Vunga bro Click to expand... Lete mteja
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 348,724 Reaction score 1,251,322 Mar 10, 2025 #10 Nice