Nauza nyumba ipo Kahama

Nauza nyumba ipo Kahama

Nyumba iko nyasubi kahama ,INA vyumba vitano vya kulala na sebure moja, pia maji, umeme vinapatikana ,Ina fance ya vyumba vingine kwa nyuma ambayo imekomea kwenye lenta , eneo zima ni nusu heka , serious buyer n PM Tuongee bei ni ( milioni 16) tumeshusha price generally .

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu weka picha mkuu tujichange.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom