Juru
Senior Member
- Jul 25, 2016
- 136
- 38
Nyumba iko nyasubi Kahama ,ina vyumba vitano vya kulala na sebule moja, pia maji, umeme vinapatikana.
Ina fance ya nyumba ingine kwa nyuma ambayo imekomea kwenye lenta , eneo zima ni nusu heka , serious buyer ni PM.
Tuongee zaidi bei ni ( milioni 20) but tunaweza zungumza zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ina fance ya nyumba ingine kwa nyuma ambayo imekomea kwenye lenta , eneo zima ni nusu heka , serious buyer ni PM.
Tuongee zaidi bei ni ( milioni 20) but tunaweza zungumza zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app