Huo mti si wako kabisa halafu kama utaamua uuchane ww, gharama utakazoingia zitakuwa kubwa kuliko utakachopata. Wewe chukua 300+ fanya yako. Pia ikitokea Kijiji wana mradi wao, wanaweza kujenga hoja wautumie huo mti na huwezi kuuzuia. SIWA WAKO. Hiyo nchi sheria zake mbovu za kuwabana raia wake ndio chanzo cha umaskini wake.