D dorcas_eliud Member Joined Sep 25, 2018 Posts 23 Reaction score 13 Jun 6, 2019 #1 Habari wana jf Nauza mpunga wangu ambao natarajia kuvuna jumapili hii... Kama unahitaji tuwasiliane 0712718228
Habari wana jf Nauza mpunga wangu ambao natarajia kuvuna jumapili hii... Kama unahitaji tuwasiliane 0712718228
H Hustler1 Senior Member Joined Aug 10, 2018 Posts 116 Reaction score 111 Jun 6, 2019 #2 dorcas_eliud said: Habari wana jf Nauza mpunga wangu ambao natarajia kuvuna jumapili hii... Kama unahitaji tuwasiliane 0712718228 Click to expand... -Mpunga kiasi gani? -Uko wapi? -Bei gani? Weka wazi hayo mambo kila mtu ajue anaazia wapi kukutafuta
dorcas_eliud said: Habari wana jf Nauza mpunga wangu ambao natarajia kuvuna jumapili hii... Kama unahitaji tuwasiliane 0712718228 Click to expand... -Mpunga kiasi gani? -Uko wapi? -Bei gani? Weka wazi hayo mambo kila mtu ajue anaazia wapi kukutafuta
Fenuchi Senior Member Joined May 5, 2019 Posts 116 Reaction score 38 Jun 7, 2019 #3 dorcas_eliud said: Habari wana jf Nauza mpunga wangu ambao natarajia kuvuna jumapili hii... Kama unahitaji tuwasiliane 0712718228 Click to expand... Gunia pesa ngap na upo wap
dorcas_eliud said: Habari wana jf Nauza mpunga wangu ambao natarajia kuvuna jumapili hii... Kama unahitaji tuwasiliane 0712718228 Click to expand... Gunia pesa ngap na upo wap
BRO SANTANA JF-Expert Member Joined Jun 15, 2015 Posts 1,845 Reaction score 2,249 Jun 7, 2019 #4 Taja bei kwa gunia la debe 10 na upo wapi. Vinginevyo unachofanya ni sawa na kuruka sarakasi kwenye transfoma
Taja bei kwa gunia la debe 10 na upo wapi. Vinginevyo unachofanya ni sawa na kuruka sarakasi kwenye transfoma
Abu Ubaidah Commando JF-Expert Member Joined Sep 8, 2016 Posts 7,590 Reaction score 6,956 Jun 7, 2019 #5 Hustler1 said: -Mpunga kiasi gani? -Uko wapi? -Bei gani? Weka wazi hayo mambo kila mtu ajue anaazia wapi kukutafuta Click to expand... Mtanzania atabakia kuwa Mtanganyika tu, akikujibu nitag
Hustler1 said: -Mpunga kiasi gani? -Uko wapi? -Bei gani? Weka wazi hayo mambo kila mtu ajue anaazia wapi kukutafuta Click to expand... Mtanzania atabakia kuwa Mtanganyika tu, akikujibu nitag
financial services JF-Expert Member Joined May 17, 2017 Posts 18,139 Reaction score 43,362 Jun 7, 2019 #6 BRO SANTANA said: Taja bei kwa gunia la debe 10 na upo wapi. Vinginevyo unachofanya ni sawa na kuruka sarakasi kwenye transfoma Click to expand... hiyo sarakasi
BRO SANTANA said: Taja bei kwa gunia la debe 10 na upo wapi. Vinginevyo unachofanya ni sawa na kuruka sarakasi kwenye transfoma Click to expand... hiyo sarakasi
Babu Msomali JF-Expert Member Joined Mar 4, 2016 Posts 265 Reaction score 786 Jun 7, 2019 #7 Naona Umeibukia Huku Mzee Mwenzangu.. financial services said: hiyo sarakasi Click to expand...
financial services JF-Expert Member Joined May 17, 2017 Posts 18,139 Reaction score 43,362 Jun 7, 2019 #8 Babu Msomali said: Naona Umeibukia Huku Mzee Mwenzangu.. Click to expand... Ndyo, mwenzangu, hulali tuu ?
Babu Msomali said: Naona Umeibukia Huku Mzee Mwenzangu.. Click to expand... Ndyo, mwenzangu, hulali tuu ?
Babu Msomali JF-Expert Member Joined Mar 4, 2016 Posts 265 Reaction score 786 Jun 7, 2019 #9 Nasubiria Kuambiwa Usiku Mwema na Wewe Mzee Mwenzangu.. financial services said: Ndyo, mwenzangu, hulali tuu ? Click to expand...
Nasubiria Kuambiwa Usiku Mwema na Wewe Mzee Mwenzangu.. financial services said: Ndyo, mwenzangu, hulali tuu ? Click to expand...
UNSPECIFIED JF-Expert Member Joined Sep 13, 2017 Posts 1,087 Reaction score 3,596 Jun 7, 2019 #10 dorcas_eliud said: Habari wana jf Nauza mpunga wangu ambao natarajia kuvuna jumapili hii... Kama unahitaji tuwasiliane 0712718228 Click to expand... Wewe Mollel ?
dorcas_eliud said: Habari wana jf Nauza mpunga wangu ambao natarajia kuvuna jumapili hii... Kama unahitaji tuwasiliane 0712718228 Click to expand... Wewe Mollel ?
financial services JF-Expert Member Joined May 17, 2017 Posts 18,139 Reaction score 43,362 Jun 8, 2019 #11 Babu Msomali said: Nasubiria Kuambiwa Usiku Mwema na Wewe Mzee Mwenzangu.. Click to expand... Umeamkaje mzee mwenzangu?
Babu Msomali said: Nasubiria Kuambiwa Usiku Mwema na Wewe Mzee Mwenzangu.. Click to expand... Umeamkaje mzee mwenzangu?