Nauza mayai ya kuku wakienyeji

Nauza mayai ya kuku wakienyeji

GEBA2013

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2014
Posts
5,971
Reaction score
8,526
nauza mayai yakuku wakienyeji try 12alfu.nakuletea mpaka ofisini kwako kuanzia try 10 nakuendelea.karibuni
 
Mkuu kuwa kweli nije kuchukua mengi.Ni ya kienyeji kweli au kiini cha njano?Je unapatikana wapi
 
nauza mayai yakuku wakienyeji try 12alfu.nakuletea mpaka ofisini kwako kuanzia try 10 nakuendelea.karibuni
Nahitaji mkuu... Waasi liana namba hii 0715 162225 asubuhi mapema
 
Nipo karatu arusha.ninampango wa kuanzisha ofic dar
 
KM uko serious tufanye biashara.c blaa blaa km za kina eli wao wanafikiria wapo kwnye jukwaa la siasa na mmu.
 
Ni wewe unayeyatembeza kwa baiskeli? et Mura
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom