Nauza mayai ya kuku wa kienyeji

Nauza mayai ya kuku wa kienyeji

AHMED KULHAJI

New Member
Joined
Sep 25, 2013
Posts
1
Reaction score
0
Tunauza mayai ya kuku wa kienyeji kwa bei ya jumla 13000tsh kwa trey, order tunasambaza kuanzia trey 10 unaletewa hadi ulipo.

Kwa anaehitaji au mwenye kufahamu masoko yake tuwasiliane kupitia namba 0717523626
 
Yanafaa kutotolesha? na unapatikana wapi?
 
AHMED KULHAJI,

Mkuu hayo mayai yako ya 'kienyeji' yametagwa na kuku wa kienyeji asili au chotara??
 
Niko kigoma,mnaleta?wabongo kwa maelezo ya biashara hawajui kabisa,hata ulipo huelezi,kwahiyo mtu akuagize mayai wqkati hajui wewe uko wapi?kuweka cm sio jambo la kuliamini kwa sababu watu weledi kama mie hata kukupigia simu siwezi kwani najua wewe huna viwango vya mfanya biashara anaeweza kufanya uliyosema.
Badilikeni,sio kuweka matangazo yasiyo kichwa wala miguu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom