Nauza mayai ya kienyeji Dodoma

Nauza mayai ya kienyeji Dodoma

SOWETO_MAN

Member
Joined
May 4, 2021
Posts
69
Reaction score
32
Habarini za muda huu wana jukwaa,,mhusika wa hii account nafanya biashara ya kuuza mayai ya kienyeji kwa bei ya rejareja kwa maana ya kwamba kwa sh.15,000/= tu wajipatia trei moja ya mayai, napatikana Dodoma na kwa mawasiliano zaidi piga 0621599120 karibuni sanaa!
IMG_0337.JPG
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom