Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,789
Guys hamjambo?
Baada ya kufukuzwa kazi nikachukua hela nikaaza biashara humu najua mpo watu mnatafuta mashuka mazuri na hamjayapata sasa mimi nimewaletea bei kitonga 52000 unaletewa mpaka ulipo mkoani tunatuma.
Mwachiluwi anawakaribisha wote wenye mapenzi mema
Usikubali kulalia shuka moja miezi sita usikubali njoo nikuuzie bhna tena nakuletea mimi mwemyewe simpi kijana wangu akuletee
Baada ya kufukuzwa kazi nikachukua hela nikaaza biashara humu najua mpo watu mnatafuta mashuka mazuri na hamjayapata sasa mimi nimewaletea bei kitonga 52000 unaletewa mpaka ulipo mkoani tunatuma.
Mwachiluwi anawakaribisha wote wenye mapenzi mema
Usikubali kulalia shuka moja miezi sita usikubali njoo nikuuzie bhna tena nakuletea mimi mwemyewe simpi kijana wangu akuletee
