Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,583
- 66,265
Og cottonYana sifa gani mpk yawe Elfu 50?
Kazi ni kipimo cha utu
hahah we mchaga ni call nakupunguziaNataka shuka mbili foronya sizihitajii siwezag kulalia mto
50k π€π©π© punguzo boss
25k nakupa nipe lipa namba. Na mzigo naupataje ?hahah we mchaga ni call nakupunguzia
Sio kwakubargain hukuNataka shuka mbili foronya sizihitajii siwezag kulalia mto
50k π€π©π© punguzo boss
Hahahaha me kwenye bargain labda simu au bei elekezi kama madawa, vyakula, nauli,Sio kwakubargain huku
Hii imezidi mkuu yaani nusu kwa nusu sababu huchukui foronya ππ sibora upewe shuka moja foronya mojaHahahaha me kwenye bargain labda simu au bei elekezi kama madawa, vyakula, nauli,
Lakini nguo, kiatu, sandals aah nitapoishia mara nyingi wengi wanachukua π
Nishamwambia nimpe 25k hataki ??
Hivi foronya ni la kutandikia godoro ndo niweke shuka ? Au ni hz za mito??Hii imezidi mkuu yaani nusu kwa nusu sababu huchukui foronya ππ sibora upewe shuka moja foronya moja
mambo vip wa dau
Mlisema nisitegemee mshahara tu nitafute kazi ya kufanya nyingine kama sio kufungua cafe basi nibuni kitu kingine haya nimekuja na hili hapa bei 50k
View attachment 3444964
Mkoani tuna tuma
View attachment 3444965
Foronya nne
View attachment 3444967
Hii
View attachment 3444968Makubwa sana
View attachment 3444971
Foronya ni ya mto la godoro ni bedcover
Sema kweliWatakukopa wadada wazuri, ufilisike
Sasa foronya duuh π me nazichukuaga tuu Ila mto siwezi kulalia mpk nyumbn wananishangaaForonya ni ya mto la godoro ni bedcover
Una uhakika ni cotton?Og cotton
Shuka mbili foronya 4
Hazi chuji wala kupauka