mluhilamkuu
Member
- Dec 8, 2014
- 50
- 25
Habarini wana Jukwaa
Baada ya kuanza kukamua Alizeti ili kupata mafuta ya kula, nimebakiwa na kiasi kikubwa cha Mashudu ya Alizeti kwenye kakiwanda kangu kaliyopo Wilayani Mpwapwa, Dodoma.
Kwa mhitaji wa Mashudu kwa wingi tuwasiliane kwa namba 0786 294545 ili tuongee biashara.
Karibuni
Baada ya kuanza kukamua Alizeti ili kupata mafuta ya kula, nimebakiwa na kiasi kikubwa cha Mashudu ya Alizeti kwenye kakiwanda kangu kaliyopo Wilayani Mpwapwa, Dodoma.
Kwa mhitaji wa Mashudu kwa wingi tuwasiliane kwa namba 0786 294545 ili tuongee biashara.
Karibuni