Ni mashine ya kuchonga (sio ya kichina). Yenye banda lake lenye droo za kuhifadhi vifaa na ina mwamvuli.
Ina roller mbili na ina tumia mafuta. Nimeitumia miezi miwili tu. Ni kama mpya tu.
Iko Dodoma mjini. Na inaweza safirishwa kokote.
Bei ni Mil.1.2
07*******
---------UPDATE---------
Mzigo umeshauzwa
Ina roller mbili na ina tumia mafuta. Nimeitumia miezi miwili tu. Ni kama mpya tu.
Iko Dodoma mjini. Na inaweza safirishwa kokote.
Bei ni Mil.1.2
07*******
---------UPDATE---------
Mzigo umeshauzwa