Mkuu hiyo ni aina gani ya mbegu umetumia?View attachment 645934
Nauza mahindi mabichi kwa ajili ya kuchoma. Shamba lipo kilimanjaro ila mikoani tunaleta kutokana na order .
Kwa mawasiliano zaid
0713879793/ 0766532505
PanaMkuu hiyo ni aina gani ya mbegu umetumia?
Hakuna hasara hapo, kama atachanga karata zake vizuri na wanunuzi wanaoelewa, na kama ni PANAR 4M19, Hayo ni safi Sana kwa kuchoma ni matamu Sana.Ukiuza mabichi si ni hasara? Haya yanapatikana wap? Bei ikoje?
Ukiuza mabichi si ni hasara? Haya yanapatikana wap? Bei ikoje?