Nauza mafuta ya alizeti

Nauza mafuta ya alizeti

bazahra

Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
14
Reaction score
3
Ninayo mafuta mengi ya alizeti toka Misr(Egypt), hayana cholesterol, yametengenezwa kwa standard za kimataifa.piga simu 0754261667 ajili ya biashar
 

Attachments

  • kip 001.jpg
    kip 001.jpg
    254.8 KB · Views: 415
sema information zote bei, unapatikana wapi, na kama unaweza kudeliver mpaka maeneo gani
 
Tupende vya kwetu. Tuna mafuta mengi sana ya Alizeti kutoka Singida. sasa haya ya Misri si yangeuzwa hukohuko jangwani??
 
Ninayo mafuta mengi ya alizeti toka Misr(Egypt), hayana cholesterol, yametengenezwa kwa standard za kimataifa.piga simu 0754261667 ajili ya biashar
funguka zaidi, litre moja sh ngapi? litre 3 sh ngapi? litre 5 sh ngapi? na bei ya jumla ikoje?
 
Mi ninayo ya kutoka Kibaigwa Dom nimekamua mwenyewe dumu la lt.20 bei tsh.65000/= nina madumu 600 anae hitaji ani PM mafuta yapo Dar kwa sasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom