majina yote ni ya kwangujina la wakala linasoma la nan?
Wadau nina hitaji haswaa hizo line lakini tatizo sina uelewa nazo nahofu maana town janja janja nyingiiiNinauza laini za uwakala.....iko ya tigopesa na mpesa....kila moja nauza kwa 150,000/=
Interested party njoo PM tufanye biashara
Niko Dar