jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,875
- 10,199
- Thread starter
-
- #21
inshort nakuona mshamba mno yani watu kama wew nilikuwaga nawaskia tu kumbe kweli mpo ndo maana nmeshangaa, yani unaingia kwenye thread ya watu alafu unaandka upuuziwewe mkolomije ulieuziwa lg 43inch ile bei tena nyamaza kabisa wewe tena ni zaidi ya mkimboka,unaniona kwenye nyuzi za tv sana kwasababu najua tv nalala nazo naamka nazo nashinda nazo
wewe mkolomije ulieuziwa lg 43inch ile bei tena nyamaza kabisa wewe tena ni zaidi ya mkimboka,unaniona kwenye nyuzi za tv sana kwasababu najua tv nalala nazo naamka nazo nashinda nazo
nawewe hiyo tv yako copy punguza bei ungekua mjanja usingenunua hiyo tvinshort nakuona mshamba mno yani watu kama wew nilikuwaga nawaskia tu kumbe kweli mpo ndo maana nmeshangaa, yani unaingia kwenye thread ya watu alafu unaandka upuuzi
nawewe ile tv yako huuzi ng'o labda usubiri mmakonde atoke ntwara uje unshkisheKubishana na takataka km hii ni kupoteza mda tu, mtu huna pa kulala unalala kwny tv na kukesha JamiiForums.
Pimbi wee!
hajalipia king'amuzi mkuuu,local channel zote wameondoa kaachiwa TBC tu 🤣 🤣 🤣 halafu jerry nakusaidia kupaisha uzi wako ninavyojibu jibu hizi comment ujue,ukipata mteja unikumbuke kwenye kamisheni yangu.kitendo cha wewe kuweka picha inayoonesha ni mpenzi mtazamaji wa tbc kimenifanya niahirishe kununua......
Mkuu..inaonekana una uzoefu na haya maswala ya electronics...Naomba kufahamu...kati ya hizo brands ulizozitaja..ipi chombo ni imara zaidi?..na bei za tv OG inch 32 kwa hizo brands ni bei gani?...Naomba keleweshwa mkuu.sikuelekezi mkuu unaweza ukapotea ukasema nimekuingiza choo cha wanajeshi ukanilaumu,nakupenda sana ndugu yangu naomba chukua hizi namba ukifika k.koo piga 0655-746693 duka lipo mtaa wa aggrey barabarani ilipo benki ya posta.
baada ya benki ya posta tu duka la kwanza mkono wako wa kulia kama unaelekea china plaza,ingia duka hilo hilo usiulize kitu piga hiyo namba ukiwa ndani ya hilo duka utaona ataepokea kisha muonyeshe hii comment unayoisoma hapa,usiongee mara mbili.
sio LG tu kuna Hisence,star x,maisha,sony na tv nyingine nyingi tu mkuu,nadhani ukifika dukani utaona zaidi kwa macho yako kuliko haya maelezo ninayotoa hapa.
nawewe ile tv yako huuzi ng'o labda usubiri mmakonde atoke ntwara uje unshkishe
wewe ni kaongoo[emoji3] huna hela dogo uzuri siuzii njaa, Nina tv ya 1.300.000 nina tv mpya ya 1.950.000 Halafu utajilinganisha na mm.
Hiyo hela inatosha kabisa kukulipia mahari kwa baba yako nikuoe
Mkuu..inaonekana una uzoefu na haya maswala ya electronics...Naomba kufahamu...kati ya hizo brands ulizozitaja..ipi chombo ni imara zaidi?..na bei za tv OG inch 32 kwa hizo brands ni bei gani?...Naomba keleweshwa mkuu.
wewe ni kaongoo
Nasimama upande wako kwenye huo ushauri.Utapata mteja muda sio mrefu.
Ushauri:
Usipende kuangalia TBC, hiyo luninga ina hatarisha afya ya akili.
tv zote ni imara muhimu na cha kuzingatia tv iwe ORIGINAL inatosha,kuhusu bei mkuu bei zinatofautiana kulingana na wapi unanunua tv yako,wewe hakikisha tu tv ni ORIGINAL mengine kuhusu bei yanaongeleka.Mkuu..inaonekana una uzoefu na haya maswala ya electronics...Naomba kufahamu...kati ya hizo brands ulizozitaja..ipi chombo ni imara zaidi?..na bei za tv OG inch 32 kwa hizo brands ni bei gani?...Naomba keleweshwa mkuu.
Mkuu..inaonekana una uzoefu na haya maswala ya electronics...Naomba kufahamu...kati ya hizo brands ulizozitaja..ipi chombo ni imara zaidi?..na bei za tv OG inch 32 kwa hizo brands ni bei gani?...Naomba keleweshwa mkuu.sikuelekezi mkuu unaweza ukapotea ukasema nimekuingiza choo cha wanajeshi ukanilaumu,nakupenda sana ndugu yangu naomba chukua hizi namba ukifika k.koo piga 0655-746693 duka lipo mtaa wa aggrey barabarani ilipo benki ya posta.
baada ya benki ya posta tu duka la kwanza mkono wako wa kulia kama unaelekea china plaza,ingia duka hilo hilo usiulize kitu piga hiyo namba ukiwa ndani ya hilo duka utaona ataepokea kisha muonyeshe hii comment unayoisoma hapa,usiongee mara mbili.
sio LG tu kuna Hisence,star x,maisha,sony na tv nyingine nyingi tu mkuu,nadhani ukifika dukani utaona zaidi kwa macho yako kuliko haya maelezo ninayotoa hapa.
Original naitambuaje mkuu..ebu nitoe tongotongo kwanza.tv zote ni imara muhimu na cha kuzingatia tv iwe ORIGINAL inatosha,kuhusu bei mkuu bei zinatofautiana kulingana na wapi unanunua tv yako,wewe hakikisha tu tv ni ORIGINAL mengine kuhusu bei yanaongeleka.
nikuthibitishie uongo wako sasa hivi au nikuache maana naweza kukuumbua sasa hivi maana nyie wapenda sifa kusema vitu mlivyonavyo nawapendaga sana.Muongo nn basi nielekeze kwenu nije na mshenga nikutolee posa Ndio utaelewa
i swear ukifanikiwa tu kufikisha posa hapo mimi ntakupa shela ukamvishe bureee bila kusahau baby careMuongo nn basi nielekeze kwenu nije na mshenga nikutolee posa Ndio utaelewa
wewe ni kaongoo
simple trick ambayo unaweza kutumia kwa kifaa chochote hata kama si tv,andika zile imei namba za kifaa chako kisha search google angalia results zitakazokuja,kama ukiandika imei za tv sony 32inch pcha itakuja ya hyo tv jina mpk na website yao.Mkuu..inaonekana una uzoefu na haya maswala ya electronics...Naomba kufahamu...kati ya hizo brands ulizozitaja..ipi chombo ni imara zaidi?..na bei za tv OG inch 32 kwa hizo brands ni bei gani?...Naomba keleweshwa mkuu.
Original naitambuaje mkuu..ebu nitoe tongotongo kwanza.
Matusi yanini mkuu?.kwenye uzi wa ULIANZAJE KUKAA GETTO ulikuja na story yako ya kuwa now unamiliki kiwanja, nyumba unaimalizia, biashara nyingi, gari 3......Getto lako haliendani na story uliyotupa..hadi king'amuzi umeshindwa lipia...Hahahahaha..itunze nakuja kuinunua hiyo TV.i swear ukifanikiwa tu kufikisha posa hapo mimi ntakupa shela ukamvishe bureee bila kusahau baby care
Mkuu unaitambuaje og na fake?sikuelekezi mkuu unaweza ukapotea ukasema nimekuingiza choo cha wanajeshi ukanilaumu,nakupenda sana ndugu yangu naomba chukua hizi namba ukifika k.koo piga 0655-746693 duka lipo mtaa wa aggrey barabarani ilipo benki ya posta.
baada ya benki ya posta tu duka la kwanza mkono wako wa kulia kama unaelekea china plaza,ingia duka hilo hilo usiulize kitu piga hiyo namba ukiwa ndani ya hilo duka utaona ataepokea kisha muonyeshe hii comment unayoisoma hapa,usiongee mara mbili.
sio LG tu kuna Hisence,star x,maisha,sony na tv nyingine nyingi tu mkuu,nadhani ukifika dukani utaona zaidi kwa macho yako kuliko haya maelezo ninayotoa hapa.