Hauko serious
UzaWakuu nimekwama nauza TV yng nahitaji laki tisa
Kwani wewe hujui kanuni ya Wabongo wanapotaka kuuza kitu?wao cha kwanza wanapiga hesabu ya shida ya hela aliyonayo hiyo ndio inakuwa selling price ya bidhaa yake,hizo factors nyingine kama outdated,uchakavu na ubora hawaangalii.Hujasema model inchi ngapi halafu Laki 9 used mm hyo hela c napata Samsung 32 inches Smart TV yenye. 2 Quad Core View attachment 390643
Anataka kutuonyesha vitu vyake vya ndani huyu tujue na yeye ka fix kwa ukutaHauko serious
Ila inaonekana anakaa chini au kwnye kistuliAnataka kutuonyesha vitu vyake vya ndani huyu tujue na yeye ka fix kwa ukuta
kabisaHauko serious