Nauza laki 9

Nauza laki 9

Arch366

Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
53
Reaction score
40
fa6bfaea32491d486b85dd7df0005cbd.jpg


Wakuu nimekwama nauza TV yng nahitaji laki tisa
 
Hujasema model inchi ngapi halafu Laki 9 used mm hyo hela c napata Samsung 32 inches Smart TV yenye. 2 Quad Core View attachment 390643
Kwani wewe hujui kanuni ya Wabongo wanapotaka kuuza kitu?wao cha kwanza wanapiga hesabu ya shida ya hela aliyonayo hiyo ndio inakuwa selling price ya bidhaa yake,hizo factors nyingine kama outdated,uchakavu na ubora hawaangalii.
 
Duh kweli mpwa umekwama mpaka kuandika tangazo umeshindwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom