😀😀😀Angalizo: Kw wanaume, hakikisha mwenzio yupo karibu baada ya kula hizi kokwa
😀😀😀
Nilishtuka nikajua unauza korodani yako. Kumbe ya mbuzi! By the way, ni bora uuze figo yako ila sio korodani.

Leo nimechinja mbuzi kama 20, na nauza korodani zake, anaetaka tuwasiliane.
Angalizo: Kw wanaume, hakikisha mwenzio yupo karibu baada ya kula hizi kokwa
Zifanyie utafiti zinaweza kusaidia kupandikizwa kwa wasiokuwa na uwezo wa kuzaa.. Wengine wana 1 tu na wanapata shida kupata watoto.. Kama prince mfalme..Leo nimechinja mbuzi kama 20, na nauza korodani zake, anaetaka tuwasiliane.
Angalizo: Kw wanaume, hakikisha mwenzio yupo karibu baada ya kula hizi kokwa
😀😀😀
Nilishtuka nikajua unauza korodani yako. Kumbe ya mbuzi! By the way, ni bora uuze figo yako ila sio korodani.