Kweli hali hiyo ipo sana na inabidi uchukue tahadhari Sana kabla ya kununua eneo kule..Muwe makini kwa twangoma maana utapeli imekuwa mkubwa mi naishi huko
Hujalazimishwa. Tuwe wastaarabu katika mitandao ya kijamii. Wewe kama huhitaji usijibu bandiko. Mahala pa kuishi ni chaguo la mtu. Inategemea pia unashughuli gani na wapi. Kwa anaefanya shughuli city centre Kigamboni ni dakika chache tu anafika hata akitokkea Toangoma ni 20 minutes mpaka ferry. Hakuna stress za foleni. Sembuse unaeka Tegeta stress za foleni balaa.kati ya eneo nisilolipenda kuishi au kungenga hapa tz, ni kigamboni, pili zenji. hata mtu akiniuzia kiwanja huko huwa naweka tu thamani iongezeke nije kuuza badae. sikupendi balaa.
Aliekuambia ni Heka moja ni nani??Very reasonable price
One acre for 7m.
Uko tayari kuongeza laki 5 tufanye mauziano?M4 iko poa sana
Kama unayo hiyo njoo tuongee business1 feet = 0.3 meters
Kiwanja hiko ni 21m × 18m = 378 square meters.
Ina maana square meter moja inauzwa 18,700/= Tshs.
Very expensive for that slope man....
5m itapendeza zaidi...