Nauza kiwanja Toamgoma

Nauza kiwanja Toamgoma

chichiboy1

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2015
Posts
1,396
Reaction score
1,887
Kipo Toangoma mtaa wa Masaki ,sio mbali na stand kuu ya Toangoma na ni karibu na shule ya sekondari, ukubwa wa eneo ni futi 60 kwa 70. Hakina hati na bei yake ni tshs million Saba (7,000,000/=)..Nicheki pm kwa mawasiliano zaidi.

N.B. Tunaweza kufanya exchange na Toyota ambayo ni Hatchback..
 
Kipo Toangoma mtaa wa Masaki ,sio mbali na stand kuu ya Toangoma na ni karibu na shule ya sekondari, ukubwa wa eneo ni futi 60 kwa 70. Hakina hati na bei yake ni tshs million Saba (7,000,000/=)..Nicheki pm kwa mawasiliano zaidi.

N.B. Tunaweza kufanya exchange na Toyota ambayo ni Hatchback..
Tuma picha
 
IMG_20170826_155636.jpeg
IMG_20170826_155629.jpeg
IMG_20170826_155632.jpeg
IMG_20170826_155636.jpeg
 
Very reasonable price
One acre for 7m.
 
1 feet = 0.3 meters

Kiwanja hiko ni 21m × 18m = 378 square meters.
Ina maana square meter moja inauzwa 18,700/= Tshs.

Very expensive for that slope man....

5m itapendeza zaidi...
 
1 feet = 0.3 meters

Kiwanja hiko ni 21m × 18m = 378 square meters.
Ina maana square meter moja inauzwa 18,700/= Tshs.

Very expensive for that slope man....

5m itapendeza zaidi...
Thanks for the illustration man..tukifika mwisho 6 itapendeza zaidi na hapo ndio mwisho
 
Kipo Toangoma mtaa wa Masaki ,sio mbali na stand kuu ya Toangoma na ni karibu na shule ya sekondari, ukubwa wa eneo ni futi 60 kwa 70. Hakina hati na bei yake ni tshs million Saba (7,000,000/=)..Nicheki pm kwa mawasiliano zaidi.

N.B. Tunaweza kufanya exchange na Toyota ambayo ni Hatchback..
kati ya eneo nisilolipenda kuishi au kungenga hapa tz, ni kigamboni, pili zenji. hata mtu akiniuzia kiwanja huko huwa naweka tu thamani iongezeke nije kuuza badae. sikupendi balaa.
 
kati ya eneo nisilolipenda kuishi au kungenga hapa tz, ni kigamboni, pili zenji. hata mtu akiniuzia kiwanja huko huwa naweka tu thamani iongezeke nije kuuza badae. sikupendi balaa.
Kwanini unasema hivyo Hute.
 
Back
Top Bottom