Nauza kiwanja nahitaji kuamia mkoani chap..

Nauza kiwanja nahitaji kuamia mkoani chap..

Chopra1235

Member
Joined
Jan 5, 2019
Posts
14
Reaction score
18
ninakiwanja vikindu kazole futi 50 kwa 50 kipo karbu na barabara maji na umeme vinapatikana kirahis sana
Bei 4.5M
 
ninakiwanja vikindu kazole futi 50 kwa 50 kipo karbu na barabara maji na umeme vinapatikana kirahis sana
Bei 4.5M

Una maana karibu mita 16 kwa 16? Mbona kiwanja kidogo sana hiki bosi? iko 1.5m? kama kweli kiko karibu na bara bara.,
 
Una maana karibu mita 16 kwa 16? Mbona kiwanja kidogo sana hiki bosi? iko 1.5m? kama kweli kiko karibu na bara bara.,
dakika tano kutoka barabarani.....hata ukiamua kujenga mchanga unapata hapo karibu........na maji sio shida kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom