OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 437
Nina shida napokea ht nusu na nyingine utamalizia bei ni mill 1.3
Nina shida napokea ht nusu na nyingine utamalizia bei ni mill 1.3
View attachment 76410 mzigo huo hapo wazee
kiko maeneo gani ya mkuranga...nataka kuthaminisha.
Vipi mkuu ulifanikiwa kukiona hicho kiwanja?
ilishindikana mkuu!
hebu m-PM huyu jamaa yaelekea ni kizuri ingawa mimi nilishindwana naye kwenye bei!Kina ukubwa gani hicho kiwanja?