Nauza kiwanja kwa bei poa

Nauza kiwanja kwa bei poa

Livanga

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2010
Posts
475
Reaction score
156
Wandugu nauza kiwanja chenye ukubwa wa mt 25x30 kipo kata ya Goba kitongoji cha kulangwa along barabara ya kwenda wazo. Kinafikika kwa njia nyingi kupitia mbuyuni, goba( tangi bovu au mbezi ya kimara). Bei milion 8 tu.
Kwa mteja aliye serious tu nipigie namba 0714500004
 
Pima kwanza!!

Napenda sana kupima tatizo vigezo vya nchi yetu uwezi kupima eneo dogo kiasi hicho. Na ingependeza sana kama serikali ingekuwa inapima then sisi wananchi tunauziwa na kulipa gharama za upamaji hukohuko kwani isingekuwa gharama kama sasa na mpangilio wa mji ungekuwa mzuri sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom