Nauza Kiwanja Dodoma mjini

Nauza Kiwanja Dodoma mjini

Mfarisayomtata

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2012
Posts
474
Reaction score
188
Wanajamvi nauza kiwanja chenye ukubwa wa karibu nusu ekali kipo eneo la Dodoma makulu njia ya kuelekea chuo kikuu cha UDOM. Ukikihitaji ni PM tuwasiliane kwa maelezo mengine. Asante!!
 
bei ni kuanzia m4 tu mkuu, pia tunaweza kuelewana. Ni cha kwangu mimi si dalali.
 
Wasiwasi wangu ni km biashara itakuwa halali maana jina lako mmmmmh!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom