SOORI MBISE
Senior Member
- Mar 11, 2012
- 152
- 106
Nauza kiwanja chenye ukubwa wa urefu mita 40 upana mita 25. Kipo Mbezi mpiji magohe kituo cha kwa Stephen. Bei yake ni 12m hakuna dalali mimi ndiye mmiliki halali. Ukija nitakupa ushahidi wote wa serikali za mitaa, majiarani na mimi mwenyewe ni mtumishi wa serikali. Nitakupeleka hadi kazini kwangu upajue ili kujihakikishia kuwa hakuna utapeli. Kiwanja kipo jirani na barabara hakina mlima kabisa kipo tambarare. Kuna umeme na maji. majirani wamejenga vizuri. ukihitaji mawasiliano nitafute PM. Dalali hatakiwi maana sina posho ya kumlipa.