nauza kitanda na godoro-Laki moja-100,000

nauza kitanda na godoro-Laki moja-100,000

charloh4

Member
Joined
Jun 22, 2013
Posts
31
Reaction score
4
Nauza kitanda na godoro laki moja kwanzia tarehe 1-4-14 nikihama.piga 0683-318-021.vyote ni vipya.miezi miwili vimetumika.
 
Kitanda cha mtoto au?
Godoro la matambara (morogoro style) au?

Weka details......
Kwa niaba ya #teammaswali .
 
kitanda fut ngapi.. godoro aina gani:thinking:
  • A%20S%20confused.gif



    :A S-devil4:








 
Hujasema ni kitanda size gani na hilo godolo, detail zinahitajika zaidi na ikiwezekana weka picha.
 
Nauza kitanda na godoro laki moja kwanzia tarehe 1-4-14 nikihama.piga 0683-318-021.vyote ni vipya.miezi miwili vimetumika.
Sasa mtu hasemi yuko wapi, hivyo vitu viko wapi.... daaa! dunia ina mambo!!!!!
 
Wakuu nimeongea nae mzigo upo mikochen a kwa nyerere kitanda futi 3 na godoro lake. nawasilisha
 
kama futi 3 kauzie wanafunzi wa bweni sio watu wazima, peleka kwenye shule za kata watanunua wale wanafunzi wanaoishi gheto wamepanga
 
Io tareh ni siku ya wajinga dunia, so take care mzaz.
 
yani kuna thread zingine kama mtu anapost akiwa anakamua mzigo wa constipation:thinking:
 
Me mfanyabiashara wa magodoro na vitanda.
godoro la fet 3 jipya ni 45,000 na kitanda kipya cha feet3 70,000 kama ni hardwood na kama ni softwood ni 45,000:
So kama ni kwel unatka kuviuza ntakupa 65,000 kwa vyote godoro na kitanda nichek 0764616353
 
Me mfanyabiashara wa magodoro na vitanda.
godoro la fet 3 jipya ni 45,000 na kitanda kipya cha feet3 70,000 kama ni hardwood na kama ni softwood ni 45,000:
So kama ni kwel unatka kuviuza ntakupa 65,000 kwa vyote godoro na kitanda nichek 0764616353

Ni PM namba yako mkuu nkupe kitanda 5*6 au 6*6 na godoro lake ila Vipo Moro


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom