BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,214
- 4,167
Shalom Wakuu na habari za Kupambana huko.
Husika na kichwa cha Habari.
Ninauza kamera yangu ya Kisasa aina ya Nikon D90.
Sababu ya kuiuza ni kwamba nilimnunulia kijana wangu October mwaka jana alipomaliza Certificate hapo DSJ na ana ndoto ya kuwa Photo Journalist.
May hii ameletewa mtambo mkubwa zaidi unaostahili ndoto zake na anataka kuiuza hii ili nimuongeze hela anunue ile anayoona inastahili ndoto zake na ambayo bei yake ni masafa marefu.
Kamera tunayoiuza bado ni kama mpya maana imetumika kwa miezi sita tu tena kwa sababu maalumu.
Specs za kamera ni:
Nikon D90
Megapixel 12.5
Lens 18-105
ISO range 200-3200
Kwa mengineyo, njoo inbox.
Husika na kichwa cha Habari.
Ninauza kamera yangu ya Kisasa aina ya Nikon D90.
Sababu ya kuiuza ni kwamba nilimnunulia kijana wangu October mwaka jana alipomaliza Certificate hapo DSJ na ana ndoto ya kuwa Photo Journalist.
May hii ameletewa mtambo mkubwa zaidi unaostahili ndoto zake na anataka kuiuza hii ili nimuongeze hela anunue ile anayoona inastahili ndoto zake na ambayo bei yake ni masafa marefu.
Kamera tunayoiuza bado ni kama mpya maana imetumika kwa miezi sita tu tena kwa sababu maalumu.
Specs za kamera ni:
Nikon D90
Megapixel 12.5
Lens 18-105
ISO range 200-3200
Kwa mengineyo, njoo inbox.