Makumbusho siko mbali nako ila nitapitaHuna kabati la makumbusho? iweke tu faida kwa kizazi kijacho
Hiii yenyewe mkuu nilinunua mlimani cityKwanza hiyo ni zile iphone za kichina, original haiko hivo ukiifungua kwa ndani, hiyo wape watoto wachezee.
Kasema elfu 60000 na siyo laki sitalaki6 ujue ni iPhone 6 tena mpya ila cyo brand new wew ungeanzia laki3 ikipata mteja 280 chukua na usigeuke nyuma
Unakula karoti kweli?laki6 ujue ni iPhone 6 tena mpya ila cyo brand new wew ungeanzia laki3 ikipata mteja 280 chukua na usigeuke nyuma
oooh nisamehe nimeongeza bashite yangu ila iPhone kwa elfu60 ndugu aya tumtakie biashara njemaKasema elfu 60000 na siyo laki sita
Duh hatari..... hii sim yako imepigana vita haswa . Kkwakweli ikipata mteja nenda katoe sadaka kanisani/msikitini
Unakula karoti kweli?
Hebu ongeza na mboga za majani hasahasa tembele
Betri 20000betri yake sh ngapi?
hayaBetri 20000
Hamna simu humo hilo ni iphone la kichina ndo maana lina extenal memory kwanza yenyewe betri yake ni nyeusi na ina intenal memory......hilo ni fafa labda mpe 1000 inamtoshabetri yake sh ngapi?
Hamna simu humo hilo ni iphone la kichina ndo maana lina extenal memory kwanza yenyewe betri yake ni nyeusi na ina intenal memory......hilo ni fafa labda mpe 1000 inamtosha