Nauza iphone 4s bei poa sana.

jembelamkono

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2015
Posts
2,733
Reaction score
2,020
Habari mkuu,ninauza sim yangu iphone 4s niliyokua naitumia,imekua ghafla na tatizo inaniandikia disabled,nadhani inahitaji marekebisho kidogo.
Bei ni Tsh 110,000/=
Piga au whatsap 0621003284
Napatikana Dar.
Tazama picha kama inavyo onekana.
Bei Tsh 110,000/=
 
si mlisema simu zenu hizo haziharibikagi
 
si mlisema simu zenu hizo haziharibikagi
Hiyo sim ni toleo la zaman katika series ya iphone na ameshaacha kuzitolea updates toka mwaka juzi.
Simu zinazopokea updates ni kuanzia iphone 5s na kuendelea zenye 64bits processor.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…