Nimecheka sana,jf inatupa rahaUlikuwa unalilalia bila kutandika shuka?
Kwan kuuza godoro ajabu! Acha ushambahatimaye hata mwiko wa mboga utauzwa![]()
![]()
![]()
Kwa kuuza godoro ajabu, acha ushambahatimaye hata mwiko wa mboga utauzwa![]()
![]()
![]()
Sio kila kitu kinachouzwa ni coz ya magu kabana ni mauzo tu kwan kuuza godoro ajabu, acha ushambaMagu legeza vyuma babaa......
Ona sasa watu wanauza hadi magodoro, watalala wapi sasa....![]()
![]()
Kaka biashara haitaji hasira,kama VP tafuta dalali umpe 10% ya mauzoKwan kuuza godoro ajabu! Acha ushamba
mkuu nani kasema ni ajabu?Kwan kuuza godoro ajabu! Acha ushamba
Kwa kuuza godoro ajabu, acha ushamba
Anaogopa makatoKaka biashara haitaji hasira,kama VP tafuta dalali umpe 10% ya mauzo
Nichek inbox kwa namb hii 0766166483, hvo vyote ninavyoFeni na carpet nahitaj as soon as possible nna dogo langu anataka kuanza life
Mkuu siyo ajabu mkuu.
Ila humu JF kila mtu ananunua kitu kipya, wa humu magodoro wakiwa hawatumii wanayatupa.
Humu sote ni matajiri mkuu.
































Minimshamba kweli mkuu, maana hayo mambo ya kuuza lalio hayapo na hayafanyiki huku kwetu Imalamagigo...Sio kila kitu kinachouzwa ni coz ya magu kabana ni mauzo tu kwan kuuza godoro ajabu, acha ushamba

Kaka biashara yoyote huwezi fanikiwa peke ako,akubali tu wagawane mapato ya godoroAnaogopa makato