Nauza gari toyota ist

Nauza gari toyota ist

Gosberth

Member
Joined
Feb 15, 2013
Posts
20
Reaction score
6
Nauza gari toyota ist , 8m
Hali yake ni nzuri
0755348080
20181017_094113.jpeg
20181017_094132.jpeg
20181017_094123.jpeg
20181017_094208.jpeg
20181014_134519.jpeg
20181014_102454.jpeg
 
Iko na cc ngapi?
Je imetembea kilometers ngapi?
Na iko mkoa gani?
 
Wakati mwingine kama unafanya biashara lazima umanishe na ujiweke kwenye mazingira ya kuaminika, milioni ni hela nyingi si sawa na kipindi cha laki si pesa.
Hizi picha zimepigwa stend, hivi unadhani wenye nia ya kununua watakuamini?

hata hivyo kila la heri!!
 
JF bhana mtu anasema anatoa 6.5 ukimwambia sawa njoo tufanye biashara anakimbia.
 
JF bhana mtu anasema anatoa 6.5 ukimwambia sawa njoo tufanye biashara anakimbia.

Hahaha, ukikutana na Chinga anakwambia nguo ni sh 20,000/-, ukamwambia chukua 10,000/- akakubali bila kubisha unatoa?
 
Hahaha, ukikutana na Chinga anakwambia nguo ni sh 20,000/-, ukamwambia chukua 10,000/- akakubali bila kubisha unatoa?
Hii yako ni tofauti na ya jf yani hapa mtu anakwambia kama hapo ana 6.5 ukimwambia poa lete tufanye biashara anaingia mitini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom