Mnunuaji ndo anakimbia?JF bhana mtu anasema anatoa 6.5 ukimwambia sawa njoo tufanye biashara anakimbia.
Hizi picha zimepigwa stend, hivi unadhani wenye nia ya kununua watakuamini?
JF bhana mtu anasema anatoa 6.5 ukimwambia sawa njoo tufanye biashara anakimbia.
PoaMkuu naomba nikupe 6.5 leo leo tumalize business!!!
Hii yako ni tofauti na ya jf yani hapa mtu anakwambia kama hapo ana 6.5 ukimwambia poa lete tufanye biashara anaingia mitini.Hahaha, ukikutana na Chinga anakwambia nguo ni sh 20,000/-, ukamwambia chukua 10,000/- akakubali bila kubisha unatoa?
Ndio yani mnunuaji anakimbia kabisa.Mnunuaji ndo anakimbia?
Hii yako ni tofauti na ya jf yani hapa mtu anakwambia kama hapo ana 6.5 ukimwambia poa lete tufanye biashara anaingia mitini.