Unaweza kueleza sababu za kuuza kwa faida ya wote? Uko pande ipi ya Tanzania?
Na je, unakubali kulipwa kidogo kidogo (by instalments)?
Funguka mkuu, nimeuliza maswali mengi. Hiyo simu itatumika wakati tunataka kuiona physically.Ninauza coz nahitaji pesa ya kufanyia kitu fulani!