Wakuu hapo juu Kama huhitaji gari unaruhusiwa kujikataa, maana kimfaacho mtu chake, Sasa nyie hamjui biashara au 11mil. Ukiwa na 9.2 pengine atakufikiria ni lini IST mpya ikauzwa 5mil au 6mil, hiyo gari ukiikagua vizuri siyo chini ya 9mil.. tena kauza haraka haraka.
Kama hamjui kitu is better to shut up.