Bila kusahau kilomita ilizotembeaUngeweka na spécification za ukubwa wa engen yake.....na namba yako ya simu na location ya gari wapi inapatikana
Ova
Sawa.....hyo pia ila issue kama Hizi ni Mtu kuitimbia gari mwenyewe kwenda ikaguaa tu
4Ni 6 au 4?
Mzigo huo hapo sasa
Ukiagiza Japan inafika hadi 18-19M mkuu! Zama kwenye TRA calculator,kokotoa!Mkuu umeuliza lakini sokoni ni shs ngapi? Hiyo ni bei ya kuagiza Japan harrier used
kuinunua ni milion 6 (cif) kodi ni 7.5 +milion 1 mazagazaga ya bandari betri mpya mafuta clearing ,shipping line na port charges jumla 14 hiyo ikiwa imetoka japani hiyo yako bei ya kiuhalisia sokoni ni mil 8-11Ukiagiza Japan inafika hadi 18-19M mkuu! Zama kwenye TRA calculator,kokotoa!
Bado unayo tuongee?Sorry sana kabla sijamaliza kuandika nikabonyeza inter mzigo uka jipost
Location ni Dar Es Salaam Kunduchi Mtongani..
Engine capacity ni CC 2362!!
Mawasiliano 0745 735 825
15m hupati mtuWadau habarini za mchana,ninaunza gari yangu aina ya Harrier Old Model,bei ni Tshs 15,000,000/ sababu zakuiuza ni kwamba kwamba nauza niweze kuongeza pesa ninunue gari jingine!
View attachment 784877View attachment 784878View attachment 784879View attachment 784880View attachment 784881View attachment 784882View attachment 784883